September 12, 2011
BREAKING NEWS: Bomba la Mafuta lalipuka Kenya
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa takriban watu 100 wameuawa na moto baada ya bomba la mafuta kulipuka katika eneo la viwanda Lunga Lunga jijini Nairobi, Kenya. Wazima moto wanajaribu kuzima moto huo.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment