![]() |
| Mwanahisa wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Eddy Mushi akichangia mada wakati wa mkutano mkuu wa mwaka wa 38 wa wanahisa wa kampuni hiyo, Dar es Salaam. |
| Mkurugenzi wa Miradi Maalum, Phocus Lasway (kushoto), akifafanua jambo kuhusu mpango wa kuwasaidia wakulima wadogo wadogo wa kilimo cha shayiri nchini. zao hilo linatumika kutengenezea bia. |
| Mwanahisa wa TBL, Grace Nabur akichangia hoja katika mkutano huo. |
![]() |
| Mwanahisa wa TBL, Mzee Kibonde kutoka Rungwe mkoani Mbeya, akichangia hoja wakati wa mkutano huo. |
| Wafanyakazi wa TBL, waliofanikisha mkutano huo. |




No comments:
Post a Comment