Kachero kutoka Polisi Arusha, D/CPL Fortunatus (mwenye tisheti ya pundamilia kushoto), akiimarisha ulinzi wakati Mtuhumiwa wa Kesi ya Wizi wa Kuaminiwa, Bw. John Warburg (mwenye tisheti nyekundu), akiteremka kutoka kwenye Bus la Ngorika katika Kituo cha Mabasi cha Ubungo jijini Dar es Salaam leo Mei 29.2012, wakitokea jijini Arusha ambako Mtuhumiwa Warburg alikamatwa kufuatia kuruka dhamana aliyopatiwa katika Kituo cha Polisi cha Urafiki takribani Miezi Mitatu iliyopita. John Warburg alidhaminiwa katika Kituo cha Polisi Urafiki baada ya kukamatwa akituhumiwa kwa kosa la kujipatia Gari aina ya Toyota Cresta GX 100 lenye namba za usajili T 796 AVQ na kuliuza kwa manufaa yake bila idhini ya mwenye mali kesi yenye kumbukumbu namba URP/RB/2412/2012 -.URP/IR/1544/2012. PICHA/DAILY MITIKASI BLOG
|
Yaani usharobaro wote huo jamani kumbe jamaa tapeli kweli kwa kuangalia kwa macho huwezi kumdhania kabisa jamani
ReplyDeleteNina huyu?
ReplyDeleteMshkaji umeacha kuuza unga siku hizi
ReplyDeleteWarburg kweli za mwizi arobaini uliniibia na kunitapeli mimi huku morogoro Mali zangu za thamani na kutorokea dar na nilishindwa kukufuatilia sabab ya vitisho vyako vya uanajeshi kumbe unatumia cheo chako kufanya mambo ya kipuuzi, kila mwanzo una mwisho
ReplyDeleteKumbe mjeda aibu pumbaf
ReplyDeleteArusha tulikuheshimu kumbe shemeji umekimbia soo, pole sana
ReplyDeletehuyu jamaa kijiwe chake kilikuwa maryland mwenge ni tapeli huyooo! kaliza wengi hasa wadada
ReplyDeletehuyu jamaa kijiwe chake kilikuwa maryland mwenge ni tapeli huyooo! kaliza wengi hasa wadada
ReplyDeleteJeshi limekushinda? Mkuu wamajeshi unaona vituko vya wamajeshi watu Kama hawa wanalichafua jeshi la Tanzania mulika mwizi
ReplyDeleteHuyu ni tapeli professional alimliza ndugu yangu Stargell amekamatwa za mwizi arobaini
ReplyDeleteHhaa baba Sandra umeanza lini utapeli? Huyu tulikuwa tunakaa nae lugalo fleti tunatazamana Leo kweli umefikia hatua hii kweli maisha yanabadilika, usipoangalia jirani utaishia pabaya
ReplyDelete