Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akicharaza ngoma wakati wa mapokezi yake katika kijiji cha Mlangali mkoani Njombe juzi 4/6/2012. |
Wanachi wakijipa sehemu nzuri ya kusimama ili waweze kumuona na kumsikia vizuri Nape alipohutubia mkutano wa hadhara katika kijiji cha Mlangali, mkoani Njombe. |
Mama aliyebeba mtoto wakishangilia kwa furaha wakati wa uzinduzi wa tawi la wakereketwa wa CCM la Liwigi, Ludewa mkoani Njombe uliofanyuwa na Nape katyika ziara hiyo. |
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akifurahi na watoto wa Mlangali, alipopiga nao picha ya pamoja na watoto hao baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara eneo hilo. |
Msafara wa Nape ukiongozwa na pikipiki wakati ukiingia mjini Njombe kwa ajili ya mkutano wa hadhara na kufungua matawi kadhaa aya CCM. |
Nape akizindua shina la wakereketwa wa CCM la Melizine mjini Njombe wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa Chama mkoani Njombe.
|
Wanafunzi wa shule ya awali ya Melizine wakionyesha alama ya dole, wakati Nape alipopita eneo la shule yao mjini Njombe leo 5/6/12.
|
No comments:
Post a Comment