March 1, 2013

KABAKA AZINDUA BODI MPYA YA WADHAMINI YA NSSF

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa Hifadhi ya Jamii ya Jamii (NSSF),Ramadhani Dau akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi Mpya ya Wadhamini ya Mfuko huo, iliyofanyika jijini Dar es Salaam. 
 Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudencia Kabaka akizungumza wakati wakati wa uzinduzi huo.
 Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Abubakar Rajabu akitoa neno la shukrani baada ya Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudencia Kabaka (kushoto) kuzindua bodi hiyo. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Ramadhani Dau.
 Baadhi ya wajumbe wa bodi.
 Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudencia Kabaka akipeana mkono na Mkurugenzi Mkuu NSSF, Ramadhani Dau baada kuzindua bodi hiyo.
 Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudencia Kabaka (kulia) akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa bodi ya NSSF, Abubakar Rajabu (katikati), na Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF,  Crescentius Magori.

No comments:

Post a Comment