|  | 
| Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania aliyemaliza muda wake Bw. Sam Elangallor. | 
| .jpg) | 
| Rais Jakaya Kikwete katika picha ya pamoja na ujumbe wa Airtel pamoja na Waziri wa Sanyasi, Mawasiliano na Tekenolojia, Profesa Makame Mbarawa (kushoto). | 
| .jpg) | 
| Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mwenyekiti wa kampuni ya Airtel India Bw. Sunil Mittal alipokutana naye Ikulu, Dar es salaam, jana jioni (2). | 
|  | 
| Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mwenyekiti wa kampuni ya Airtel India Bw. Sunil Mittal na ujumbe wake alipokutana naye Ikulu, Dar es salaam, jana jioni. | 
|  | 
| Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na ujumbe wa Airtel na wa Serikali jana jioni Ikulu Dar es salaam | 
|  | 
| Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu mpya wa Airtel Tanzania Bw Sunil Colaso. | 
|  | 
| Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa kampuni ya Airtel India Bw. Sunil Mittal alipokutana naye Ikulu, Dar es salaam, jana jioni. | 
| .jpg) | 
| Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa kwa Mkurugeni Mkuu mpya wa Airtel Tanzania Bw Sunil Colaso na aliyemaliza muda wake Bw Sam Elangallor (kulia). | 
 
No comments:
Post a Comment