Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Waziri wa zamani, Mjumbe wa halmashauri Kuu ya Taifa (Nec) na Mweka Hazina wa Taifa wa CCM wa zamani, Marehemu Alfred Tandau, aliyefariki dunia juzi jioni katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kansa ya tumbo.
|
No comments:
Post a Comment