Tangazo

October 10, 2011

Waziri Mkuu pinda akutana na Uongozi wa Kampuni ya Mafuta ya Petrobras nchini Brazil

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Uongozi wa juu wa Kampuni ya Mafuta ya Petrobras  kwenye Ofisini kuu ya kampuni hiyo, Rio de Janeiro akiwa katika ziara ya kikazi nchini Brazil Oktoba 7,2011  Kampuni hiyo imekwishaanza kutafuta mafuta kwenye pwani ya Mtwara.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Mafuta ya Petrobras, Bw. Fernando Jose Cunha (kushoto kwake) kwenye Ofisini kuu ya kampuni hiyo, Rio de Janeiro akiwa katika ziara ya kikazi nchini  Brazil  Oktoba 7,2011.  Kampuni hiyo imekwishaanza kutafuta mafuta kwenye pwani ya Mtwara. Wengine pichani kutoka kushoto ni Waziri wa Ardhi, Maendeleo ya Makazi, Maji na Madini wa Serikali ya Mapinduzi ya  Zanzibar, Ali Juma Shamuhuna, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dr. Mary Nagu na Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Mafuta ya Petrobras, Bw. Fernando Jose Cunha  kwenye Ofisini kuu ya kampuni hiyo, Rio de Janeiro akiwa katika ziara ya kikazi nchini Brazil  Oktoba 7,2011. Kampuni hiyo imeanza kazi ya kutafuta mafuta kwenye pwani ya Mtwara nchini.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: