Tangazo

October 8, 2012

AJALI MBAYA YA BODA BODA YAUA DEREVA NA ABIRIA WAKE PAPO HAPO ENEO LA MAKONGO


Dereva wa Bodaboda na abiria wake, ambao hawakuweza kufahamika majina yao kwa haraka, wakiwa wamelazwa pembeni mwa barabara ya Bagamoyo eneo la Makongo, baada ya kugongwa na gari aina ya Starlet yenye namba za usajiri T 838 BKB, wakati wakiwa katika Pikipiki yao yenye namba za usajiri T 491 BFY, na kufariki dunia papo hapo. Ajali hiyo ilitokea jana asubuhi, Pichani ni raia akijaribu kutambua mwili wa marehemu katika ajali hiyo. Picha na www.sufianimafoto.blogspot.com

No comments: