Tangazo

September 18, 2014

KINANA AMALIZA ZIARA MAFIA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikata utepe kuashiria ishara ya kuweka jiwe la msingi katika jengo la ofisi ya CCM wilaya ya Mafia.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa kwenye picha ya pamoja na wajumbe wa kamati ya siasa wilaya ya Mafia.
 Hii ndio ofisi mpya ya CCM wilaya ya Mafia.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdurahman Kinana akifanya mzaha na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye mara baada kukagua mradi wa maji,masaidia zaidi ya mradi huu wa maji  utahudumia watu zaidi ya 3000.
 Sehemu ya vifaa vya mkandarasi vikiwa kwenye eneo linapotengenezwa tuta la Banjo,ujenzi wa tuta hili utasaidia sana wakazi wa vijiji vya Banja na Jojo.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokea zawadi ya mashua kutoka kwa Katibu wa CCM wilaya wa pwani
 Mafia umeme kila kona mpaka kwenye nyumba ya Udongo
 Mafia
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwaaga wananchi wa Mafia tayari kwa safari ya kurudi Nyamisaki.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akimwonyesha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman taarifa mbali mbali kutoka kwenye blogs, kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza na upande wa pili kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwinshehe Mlao.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahma Kinana akiteremka kutoka kwenye mashua ambayo imewasafirisha salama kwa muda wa masaa manne.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiteremka kwenye mashua

No comments: