Tangazo

June 16, 2015

MAHAFALI YA TATU YA SHULE YA AWALI YA CHEKECHEA YA OJAYS KIDDIES ZONE YAFANYIKA LEO JIJINI DAR

 Wahitimu wa shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone wakiwa kwenye picha ya pamoja
 Mkurugenzi wa Shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone, Bi Usia Nkoma Ledama akizungumza jambo wakati wa mahafali ya tatu ya shule hiyo
 Mwalimu Debby Ndulla(wa kwanza kushoto) akiwatambulisha walimu wa Shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone ambao ni Mwalimu Tatu(wa pili kutoka kushoto) akifuatiwa na Mwalimu Revina(katikati), Mwalimu Doroth(wa pili kutoka kulia) pamoja na Mwalimu Aika(kulia)
 Mwalimu Debby Ndulla(wa kwanza kushoto) akiwatambulisha wadada wanaowalea watoto wadogo wa shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone
 Mwalimu Debby Ndulla(kushoto) akimtambulisha Kaka Tobi mbele ya wazazi pamoja na walezi wa watoto waliofika kwenye mahafari ya Tatu ya shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone
 Kaka Tobi akiwapungia mikono wazazi pamoja na walezi wa watoto(hawapo pichani)
 
 Wanafunzi wa dalasa la Lantana katika shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone wakitoa burudani wakati wa mahafari ya tatu ya shule hiyo yaliyofanyika leo
 Wanafunzi wa dalasa la Lilies katika shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone wakitoa burudani wakati wa mahafari ya tatu ya shule hiyo yaliyofanyika leo
 Wanafunzi wa dalasa la Lavender katika shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone wakitoa burudani wakati wa mahafari ya tatu ya shule hiyo yaliyofanyika leo
 Bwana na Bibi Seyvunde wakizungumzia maendeleo ya mtoto wao ambaye alikuwa ni mmoja wa wahitimu leo.
Mkurugenzi wa Shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone, Bi Usia Nkoma Ledama(kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na Mtangazaji wa kipindi cha Power Breakfast Gerald Hando(katikati) pamoja na Mwalimu Debby Ndulla(kushoto) 
 
 Baadhi ya wazazi pamoja na walezi waliofika katika mahafari ya watoto wao wakifuatilia yanayoendelea.
Picha hizi chini ni wakati wa kukabidhiwa vyeti kwa wanafunzi hao waliohitimu leo
 















 Wazazi pamoja na walezi wakichukua matukio

No comments: