Tangazo

March 9, 2016

MWANARIADHA WA TANZANIA ALPHONCE FELIX AREJEA NCHINI

Mwanariadha wa Tanzania ,Alphonce Felix akirejea nchini akitokea nchini Japan kushiriki mashindano ya marathoni yajulikanayo kama Lake Biwa ambapo alifanikiwa kushika nafasi ya tatu akitumia muda wa saa 2:O9:19.
Mwanariadha wa Tanzania ,Alphonce Felix akisalimiana na mdau wa riadha ,Whileam Gidabuday aliporejea nchini akitokea nchini Japan kushiriki mashindano ya marathoni yajulikanayo kama Lake Biwa ambapo alifanikiwa kushika nafasi ya tatu akitumia muda wa saa 2:O9:19.
Mwanariadha wa Tanzania ,Alphonce Felix (katikati)  akiwa na kocha wa timu ya taifa ya riadha Francis John waliporejea nchini wakitokea nchini Japan kushiriki mashindano ya marathoni yajulikanayo kama Lake Biwa ambapo alifanikiwa kushika nafasi ya tatu.
Mwanariadha wa Tanzania ,Alphonce Felix akimkabidhi rais wa shirikisho la riadha Tanzania (RT) Anthony Mtaka ngao ya ushindi wa nafasi ya tatu aliyopata katika mashindano ya Lake Biwa Marathon yaliyofanyika nchini Japan.
Wanariadha wa timu ya taifa ya riadha wakiwa katika picha ya pamoja na mshindi wa tatu wa mbio za marathoni za Lake Biwa .Alphonce Felix.
Wanariadha wa timu ya taifa ya riadha wakiwa katika picha ya pamoja na Rais wa shirikisho la Riadha Tanzania ,Anthony Mtaka pamoja na mshindi wa tatu wa mbio za marathoni za Lake Biwa .Alphonce Felix.
Mwanariadha wa Tanzania ,Alphonce Felix akionesha zawadi aliyopewa baada ya kushika nafasi ya tatu katika mashindano ya Lake Biwa Marathon ambapo alifanikiwa kushika nafasi ya tatu akitumia muda wa saa 2:O9:19.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii kanda ya Kaskazini.

No comments: