Tangazo

April 6, 2017

Tigo waungana na Tecno kuzindua simu mpya ya Tecno Camon CX

Meneja mawasiliano Tigo, Woinde Shisael akiongea na waandishi wa habari wakati wa hafla ya uzinduzi wa simu mpya ya Tecno Camon CX mapema jana katika Hoteli ya Hyatt Regency Jijini Dar es salaam.
Meneja mkuu wa Tecno Tanzania Daniel Xu akiongea na waandishi wa habari wakati wa hafla ya uzinduzi wa simu mpya ya Tecno Camon Cx mapema jana katika Hoteli ya Hyatt Regency Jijini Dar es salaam.






Mkuu wa kitengo cha masoko Tigo, Olivier Prentout akipiga picha(selfie photo) na wakaribisha wageni wa hafla hiyo(ushers)
Meneja Mawasiliano wa Tigo, Woinde Shisael na Mkuu wa Idara ya uendeshaji wa Tecno, Anuj Khosla wakipiga  picha ya pamoja kuashiria uzinduzi wa simu mpya ya Tecno Camon CX mapema jana katika Hoteli ya Hyatt Regency Jijini Dar es salaam.

Mkuu wa kitengo cha masoko Tigo, Olivier Prentout akipiga picha(selfie photo) na wakaribisha wageni wa hafla hiyo(ushers)
Meneja Mawasiliano wa Tigo, Woinde Shisael na Mkuu wa Idara ya uendeshaji wa Tecno, Anuj Khosla wakipiga  picha ya pamoja kuashiria uzinduzi wa simu mpya ya Tecno Camon CX 
mapema jana katika Hoteli ya Hyatt Regency Jijini Dar es salaam.

Selfie zikiendelea ukumbini mara baada ya uzinduzi wa simu mpya ya Tecno Camon Cx



Meneja Mawasiliano wa Tigo, Woinde Shisael akipiga Selfie na wadau  mara ya uzinduzi wa Simu hiyo mapema jana katika Hoteli ya Hyatt Regency Jijini Dar es salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa Tigo, Tecno na wageni waalikwa wakifuatilia uzinduzi huo mapema jana katika Hoteli ya Hyatt Regency Jijini Dar es salaam.


No comments: