Tangazo

November 21, 2017

CCM MKOANI MBEYA YAMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUMTEUA MHE MWANJELWA KUWA NAIBU WAZIRI WA KILIMO





Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Mary Mwanjelwa akisalimiana na wajumbe wa kamati ya siasa mara baada ya kuwasili kuwasalimu katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi Mkoani Mbeya akiwa ziarani Mkoani humo, Jana Novemba 20, 2017. Picha zote Na Mathias Canal




Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Mary Mwanjelwa ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa akizungumza na viongozi mbalimbali wa CCM Mkoa wa Mbeya mara baada ya kuwasili kuwasalimu katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi Mkoani Mbeya akiwa ziarani Mkoani humo, Jana Novemba 20, 2017.




No comments: