![]()  | 
Msanii wa kujitegemea akichangamsha Uwanja kabla ya michuano hiyo kuanza 
 | 
![]()  | 
Kibamba Warious na Mpakani FC wakiwa tayari kwa mtanange 
 | 
![]()  | 
MC akitangaza hatua mbalimbali zilizokuwa zikiendelea katika uzinduzi wa michuano hiyo 
 | 
![]()  | 
| Wadau wa friends Of Tulia wakiwa kwenye michuano hiyo | 
![]()  | 
| Mgeni rasmi akienda kukagua timu ili mpambano uanze | 
![]()  | 
| Mgeni Rasmi akisalimiana na mwamuzi wa mechi hiyo | 
![]()  | 
Mgeni rasmi akisalimia wachezaji wa timu ya Kibamba Warious 
 | 
![]()  | 
Mgeni rasmi akiwa na baadhi ya viongzi baada ya kukagua timu 
 | 
![]()  | 
| Timu zikiwa tayari kwa mpambano | 
![]()  | 
Mmoja wa waraibu wa michuano hiyo Moreen akisoma risala 
 | 
![]()  | 
Mwenyekiti wa Friends of Tulia akizungumza kabla ya mpambano kuanza 
 | 
![]()  | 
| Wadau wa Friends of Tulia wakiwa kwenye michuano hiyo | 
![]()  | 
| Wadau wa Friends Of Tulia | 
![]()  | 
| Baadhi ya wadau wakiwa na wachezaji | 
![]()  | 
| Mdau wa Friends of Tulia akiwa na baadhi ya wachezaji | 
![]()  | 
Mgeni rasmi akijiandaa kupiga mpira kuanshiria mechi kuanza 
 | 
![]()  | 
| Mgeni rasmi akiwa ameshapiga mpira | 
![]()  | 
| Mgeni rasmi akiwa katika picha ya pamoja na timu zote | 
![]()  | 
| mpambano ukaanza | 
![]()  | 
"vipi umenusurika?' refa akimuuliza mchezaji huku akimpapasa baada ya mchezaji wa timu ya Kibamba Warious baada ya  kuchezewa vibaya na mchezaji wa Mpakani FC 
 | 
![]()  | 
Kipa wa Mpakani FC akiuangalia mpira wakati ukiingia kimiani kufuatia penati iliyopigwa na mchezaji wa Kibamba Warious kutokana na mchezaji wa timu hiyo kufanyiwa rafu katika eneo la hatari 
 | 
![]()  | 
| Mpambano ukiwa umeiva | 
![]()  | 
| Mdau wa Friends of Tulia akiwa na mmoja wa wasanii waliofika kuhangamsha uzinduzi wa Tulia Cup | 
![]()  | 
Mwandishi wa Uhuru FM akiwa na mmoja wa wasanii waliofika kutia chachandu michuano hiyo 
 | 






































No comments:
Post a Comment