Tangazo

December 27, 2011

Mgogoro wa CUF




Mbunge wa Wawi (CUF), Hamad Rashid Mohammed akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu kutoa tamko kuhusu pingamizi la kukataa kuhojiwa na Kamati ya Nidhamu na Maadili ya Chama ya chama hicho.

No comments: