Tangazo

December 30, 2011

RAIS KIKWETE ATOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MTANGAZAJI WA TBC, MAREHEMU HALIMA MCHUKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI LEO

Rais Jakaya Kikwete akipeana mkono na Mkurugenzi Mkuu wa TBC, Clement Mshana wakati wa kutoa heshima za mwisho kwa Mtangazaji Halim Mchuka leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili, kabla ya kwenda kuzikwa makaburi ya Msasani baada ya Sala ya Ijumaa. PICHA NA IKULU

Rais Jakaya Kikwete akiwapa pole wafiwa.

Rais Jakaya Kikwete na waombolezaji wakiombea mwili wa Halima Mchuka.


Sehemu ya ndugu, jamaa na wadau mbalimbali waliofika kumuaga Marehemu Malima Mchuka. Mwenye suti nyeusi ni aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TBC, Tido Mhando

No comments: