Tangazo

February 3, 2012

RICHLAND RESOURCES (T) LTD 'TANZANITE ONE' KUJIORODHESHA KATIKA SOKO LA HISA LA DAR ES SALAAM (DSE)

Mkurugenzi wa Bodi wa kampuni ya Richland Resources Tanzania Ltd, Emmanuel Ole Naiko akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Februari 03.12 wakati kampuni hiyo ilipotangaza kujiorodhesha katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE). Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi wa Richland Resources, Balozi  Ami Mpungwe na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Udalali wa Hisa ya Vertex Securities, Peter Machunde. PICHA/JOHN BADI

Mwenyekiti wa Bodi wa Richland Resources Tanzania Ltd, Balozi  Ami Mpungwe (katikati), akizungumza wakati wa mkutano huo. Kutoka (kushoto) ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Udalali wa Hisa ya Vertex Securities, Peter Machunde, Mkurugenzi wa Bodi wa Richland Resources, Emmanuel Ole Naiko na Mkurugenzi wa Fedha wa kampuni hiyo, Farai Manyemba na Meneja wa Ushirikiano na Uhusiano, Dotto Medard.

No comments: