Tangazo

June 12, 2012

Wabunge Wateule wa Rais waapishwa Bungeni Mjini Dodoma Leo

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Mbunge wa Namtumbo Vita Kawawa (kushoto) na Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu  Nchemba kwenye viwanja vya Bunge Mjini  Dodoma  Juni 12, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Namtumbo, Vita Kawawa (kushoto) , Mbunge wa Viti Maalum  Leticia Nyerere (kuli) na Mbunge wa Iramba Magharibi,  Mwigulu Nchemba kwenye viwanja vya Bunge  Mjini Dodoma Juni 12,2012. ( Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Felister Bura, kwenye jengo la Utawala la Bunge Mjini Dodoma  Juni 12, 2012.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mizengo pinda  akizungumza na  Mbunge wa Viti Maalum  Pauline Gekul na watoto wake Irene (kushoto)  na Inocentia kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 12,2012. (Picha na Ofisi  ya Waziri Mkuu) (Picha na Ofisi  ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba na Mbunge wa Viti Maalum  Rose Kamili Sukum kwenye viwanja vya bunge Mjini Dodoma, Juni 12,2012.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Mbunge wa Kuteuliwa James Fancis Mbatia akiapa Bungeni Mjini Dodoma Juni 12, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Spika wa Bunge Anne Makinda akimkabidhi kanuni za Bunge Mbunge wa Kuteluliwa James Mbatia baada ya kumwapisha, Bungeni Mjini Dodoma, Juni 12,2012.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Mbunge wa Kuteuliwa Janet Zebedayo Mbene akiapa, Bungeni Mjini Dodoma  Juni 12, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Mbunge wa Kuteuliwa Saada  Mkuya Salum akiapa Bungeni Mjini Dodoma Juni 12, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Mbunge wa Kuteuliwa, Sospeter  Mwijarubi Muhongo akiapa, Bungeni Mjini Dodoma, Juni 12, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: