Tangazo

August 30, 2012

Dk. Bilal katika Mkutano Mkuu wa 16 wa Kimataifa wa Wakuu wa Nchi na Serikali Zisizofungamana na upande wowote- Iran

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongoza ujumbe wa Tanzania katika mkutano mkuu wa 16 wa kimataifa wa wakuu wa nchi na serikali zisizofungamana na upande wowote Duniani, mkutano huo umeanza leo mjini Teheran Iran.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mku wa Itifaki wa Jamhuri ya Kiislam ya Iran Abad Mobin, wakati Makamu wa Rais alipohudhuria mkutano mkuu wa 16 wa kimataifa wa wakuu wa nchi na serikali usiofungamana na upande wowote Duniani. mkutano huo umefunguliwa leo mjini Teheran Iran. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

No comments: