Picha mbalimbali za misa hadi mazishi ya Marehe Adolf. |
Aidha wametoa shukrani za pekee kwa ajili ya blog za watanzania zilizoweza kufikisha habari za msiba wa marehemu Adolf aka Brian aka Thadeo Lwakajende kwa watu wengi sana kwa muda mfupi sana kuliko tulivyotegemea.
Kwa ushirikiano huo waliweza kufanikiwa na kuweza kukamilisha shughuli hiyo kwa kipindi kifupi sana kuliko walivyokua wakitarajia.
Adolf alipelekwa kulazwa katika nyumba yake ya milele Jumatano Mei 01, 2013 huko katika makaburi ya Mt Pleasant, Hawthorne, NY 10532
Asanteni sana
Imetolewa na Pauline
No comments:
Post a Comment