Tangazo

August 8, 2016

TRL YAANZISHA SAFARI ZA TRENI YA EXPRESS DAR - KIGOMA

 Mmoja wa abiria Fatuma Kiningaakipanda ndani ya Behewa Dar es Salaam jana akielekea Kigoma kwa kutumia usafiri wa haraka  (EXPRESS), aliushukuru uongozi mzima wa Shirika la Reli Tanzania,   kwa maamuzi yao ya kuanzisha usafiri huo, ambapo ni mkombozi kwao, aliendelea kusema kubwa hasa linalo wasumbua ni upatikanaji wa Tiketi ni mgumu kiasi ambacho kina wagharimu sana,  alisema, anawaomba wanao tumia usafiri huo kuwaomba kuzidi kutunza mazingira bila shuruti kwa kushirikiana na wafanya kazi kuona ni mali yake, kuto kanyaga viti, kula vitu na kutupa ndani ya mabehewa hayo, kuweka sheria kali na kuendelea kupewa elimu kila mara kwa abiria wanao tumia usafiri huo na kila mmoja kuwelimisha mwenzake na kuwa mlinzi kwa mwenzake, hayo aliyasema jana wakati alipokuwa ndani ya behewa Dar es Salaama jana. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)    
 Abiria wakiwa ndani ya Behewa tayari kuelekea Bara

No comments: