Tangazo

September 30, 2011

MSAFARA WA 'MAMLUKI' WA CHADEMA KUTOKA TARIME NA MUSOMA WAKAMATWA TINDE UKIENDA IGUNGA

Mabasi madogo manne aina ya Rosa ya kampuni ya Mukeshi Travels yaliyokuwa na watu wanaodaiwa ni mamluki wa CHADEMA waliotoka Tarime na Musoma mkoani Mara kwenda kuvuruga uchaguzi Igunga, yakiwa yameegeshwa eneo la Tinde mkoani Shinyanga kwa ajili ya upekuzi wa Polisi leo. Hata hivyo walidai walikuwa wanakwenda kwenye kampeni huku wengine wakidai wanakwenda kuwa mawakala wa chama hicho siku ya uchaguzi. Kwa mujibu wa habari zilizothibitishwa  na Msimamizi wa Uchaguzi,  Mawakala waliapishwa jana. (Na Mpigapicha Wetu).

1 comment:

Obat Perangsang Wanita said...

i like it this information