Tangazo

October 13, 2011

NAPE ASHIRIKI MAZISHI YA JUMA PENZA

Waombolezaji wakishusha jeneza nyumbani kwa marehemu, Gongolamboto Mwisho wa Lami, mwili wa aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Uhuru FM, marehemu Juma Penza ulipowasili kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili ulikokuwa umehifadhiwa.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akibadilishana mawazo na Mpigapicha Mwandamizi wa magazeti ya Serikali Habari Leo na Daily News, Muhidin Issa Michuzi (kulia) walipokutana kwenye msiba wa Juma Penza, Gongola Mboto Mwisho wa Lami Dar es Salaam, leo. Kushoto ni Mtangazaji mwandamizi wa Uhuru FM,  Stephen Mhina Dungumaro. Michuzi pia ni Mkurugenzi wa Blogu ya Michuzi.
Wana-Madrasa wakiwa kwenye msiba wa Juma Penza (Picha zote na Bashir Nkoromo-UENEZI CCM)

No comments: