Tangazo

October 13, 2011

WAZIRI MKUU PINDA KATIKA KONGAMANO LA WORLD FOOD PRIZE, IOWA USA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika  ufunguzi wa kongamano la kimataifa la The  World  Food Prize International Symposium kwenye ukumbi wa Hoteli ya Marriott Mjini  Des Moines,Marekani jana Oktoba 12,2011.Wengine pichani kutoka kushoto ni Rais wa  Theworld Food Prize Foundation, Balozi  Kenneth Quinn,Rais wa Zmani wa Nigeria, Generali  Olusegun Obasanjo, Rais wa zamani wa Ghana, John Kufuor na Rais wa zamani wa Msumbiji, Joaquim Chissano.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: