Tangazo

February 22, 2012

Polisi wapambana na Waandamaji Songea: Risasi za Moto zatumika

Askari wa Kikosi cha Kuzuia Ghasia wakidhibiti vurugu za maandamano  mjini Songea Mkoani Ruvuma  Februari 22.12. Maandamano hayo makubwa yalifanywa na wananchi kupinga mauaji yanafanyika katika mji huo. Hadi sasa watu wanaokadiriwa 14 wameuawa kikatili na kuondolewa baadhi ya viungo vya sehemu za siri huku taarifa ambazo hazijathibitishwa zikidai vinatumika katika matambiko kwenye migodi ya Uraniamu huko Namtumbo. Watu wawili wanasadikiwa kufa katika tukio hilo. PICHA/HISANI YA MUHIDINI AMRI - SONGEA

No comments: