Tangazo

July 4, 2012

Hizi ndizo Faida za Supa 5, Dili TANO za ukweli za Airtel

1. Hivi inakuaje bado haujawaweka mabesti wako wa tatu kwenye dili na ulipe nusu shilingi kwa sekunde?

2. Kwanini ulipie facebook wakati unaweza kuperus kwa BURE na Airtel?

3. Kwanini usitumie fursa ya kuperuz intanet BURE usiku?

4. Usipoteze pesa bureee kwenye mitandao huku hakuna longo longo, ukiwa Airtel pia unaongea na yeyote kwa ROBO shilling kwa sekunde,usiku kuchwa!!

5. Kubwa zaidi unapata sms 200 Bure , Baada ya kutuma sms 10 kwa shs 30 kila moja…halafu ufurahie kuchat na washkaji KIBAO siku nzima

Hili ndo DILI 5 ya SUPA 5 kwa watu SUPA kama sisi,,,.unasubiri nini.???.Jiunge sasa
Piga *149*99# au ANDIKA neno ‘SIKU’ kisha number 3 za marafiki utakazopigia kwa nusu shillingi na utume kwenda 15548

No comments: