| Baadhi ya wasanii wa muziki wa bongo fleva na filam Tanzania, wakiwa kwenye mazishi ya Sharo milionea. | 
| Mkuu wa wilaya ya Muheza, Subra Mgalu akisoma salam za Shirika la Fursa Sawa kwa Wote (EOTF) la Mama Anna Mkapa, kwenye msiba huo. Pamoja naye ni Nape. | 
| Mwana FA akitoa salam kwa niaba ya Wanamuziki wa Bongofleva, wakati wa mazishi hayo. | 
| Mzee King Majuto akitupa mchanga kaburini kumzika Sharo Milionea. | 
| Ofisa Habari wa Airtel, Jackson Mbando akiwa na baadhi ya wasanii kwenye mazishi hayo. | 
No comments:
Post a Comment