Tangazo

July 23, 2014

WAZIRI MKUU PINDA AKUTANA NA VIONGOZI WA CITI BANK


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na   viongozi wa  Citi Bank  ofisini kwake  jijini Dar es salaam Julai 23, 2014. Kulia kwake ni Waziri wa Uchukuzi , Dr. Harrison Mwakyembe. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Citi Bank baada ya kuzungumza nao , Ofisini kwake jijini  Dar es salaam julai 23, 2014. kushoto ni Waziri wa Uchukuzi aliyemabatana na ujumbe huo na kushoto kwa Waziri Mkuu, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dr. Mary Nagu.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na  viongozi wa kampuni ya  Sumitomo Chemicals ya Japan wanaokusudia kuwekeza  kiwanda cha mbolea nchini na katika kilimo  cha mpunga. Wapili kushoto  ni Waziri wa  Kilimo , Chakula na  Ushirika, Mhandishi Christopher Chiza. (Picha na Ofisi  ya Waziri Mkuu)

No comments: