Rais wa Zanzibar Dk. Shein akutana na Balozi wa Marekani nchini
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein akizungumza na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Mark Childress
alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akibadilishana mawazo na Balozi wa
Marekani Nchini Tanzania Mark Childress alipofika Ikulu Mjini
Zanzibar leo kwa mazungumzo .[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
No comments:
Post a Comment