Tangazo

December 1, 2014

Tughe NHIF wamzawadia Humba mil.10/-

 Mkurugenzi Mtendaji mstaafu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Emmanuel Humba akisalimiana na wafanyakazi wa mfuko wakati wa hafla ya kumuaga ambapo Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (Tughe) tawi la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), kimemkabidhi zawadi ya sh. milioni 10 aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa mfuko huo, Emmanuel Humba kutokana na kuthamini mchango wake kabla hajastaafu.
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (Tughe) tawi la NHIF, Gabriel Ishole (kushoto) akimkabidhi tuzo maalumu Mkurugenzi Mtendaji mstaafu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Emmanuel Humba kutokana na kuthamini mchango wake kabla hajastaafu. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki.
 Emmanuel Humba akimkabidhi mke wake tuzo maalumu aliyopewa na wafanyakazi wa NHIF baada ya kustaafu.
Champagne zikifunguliawa.
Furaha ilitawala ukumbini.
 Cheers kwa afya.
 Kaimu Mkurugenzi Mktendaji wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Khamis Mdee akigonganisha glasi na Mkurugenzi Mtendaji mstaafu wa mfuko huo, Emmanuel Humba.
 Wafanyakazi wakigonganisha glasi kwa furaha.
Kila mtu alikuwa na furaha.
 Mkurugenzi Mtendaji mstaafu wa mfuko huo, Emmanuel Humba (kushoto) akigonganisha glasi na wafanyakazi wa mfuko huo.

Mkurugenzi Mtendaji mstaafu wa mfuko huo, Emmanuel Humba (kulia) akigonganisha glasi na wafanyakazi wa NHIF.
 Ofisa Elimu kwa Umma wa NHIF, Grace Michael (kushoto) akigonganisha glasi na Mkurugenzi Mtendaji mstaafu wa mfuko huo, Emmanuel Humba.
 Wafanyakazi wakifurahi kuagana na Mkurugenzi wao.
 Wafanyakazi wa NHIF wakicheza kwaito
 Kwaito ilipamba moto.
 Kila mtu alionyesha kipaji cjake.

 Mkurugenzi Mtendaji mstaafu wa mfuko huo, Emmanuel Humba akisakata rhumba.
Mkurugenzi Mtendaji mstaafu wa mfuko huo, Emmanuel Humba akisakata rhumba.
 Wadau wa NHIF wakitafakari


 Mkurugenzi Mtendaji mstaafu wa mfuko huo, Emmanuel Humba akipata chakula cha jioni.
 Mke wa Mkurugenzi Mtendaji mstaafu akipata chakula.
 Katibu wa Tughe tawi la NHIF, Gaudensi Kandyango akipata
Maofisa wa NHIF wakipata chakula cha jioni.
 Mkurugenzi Mtendaji mstaafu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Emmanuel Humba akitoa neno la shukrani wakati wa hafla hiyo.
 Wafanyakazi wakimtakia mkono wa pongeza Mkurugenzi Mtendaji mstaafu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Emmanuel Humba kwa kazi nzuri aliyofanya kabla hajastaafu. 
Wafanyakazi wa NHIF wakicheza muziki.
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (Tughe) tawi la NHIF, Gabriel Ishole (kushoto) akimkabidhi risiti ya ya Benki ya thamani ya shs. milioni 10 zilizotokana na michango ya wafanyakazi kwa upendo wao kwa Mkurugenzi wao mstaafu, Emmanuel Humba.
 Wafanyakazi wa NHIF wakimpa cheti maalumu kwa kutambua mchango wake.
Kamati ya maandalizi ikiwa katika picha ya pamoja.
Kaimu Mkurugenzi Mktendaji wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Khamis Mdee (kushoto) akimkabidhi zawadi ya picha kumbukumbu Mkurugenzi Mtendaji mstaafu wa NHIF, Emmanuel Humba.
 Kaimu Mkurugenzi Mktendaji wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Khamis Mdee (kushoto) akimkabidhi picha ya kumbukumbu  Mkurugenzi Mtendaji mstaafu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Emmanuel Humba.
Pokea picha ya kumbukumbu.
Mkurugenzi Mtendaji mstaafu wa NHIF akipokea zawadi.
Picha ya pamoja.
Wafanyakazi wa NHIF wakiwa na zawadi kwa ajili ya kukabidhi mke wa Mkurugenzi Mtendaji mstaafu wa NHIF.
Pokea zawadi mama.
Mke wa Mkurugenzi mstaafu wa NHIF akishukuru kwa zawadi alizopewa na wafanyakazi wa Mfuko huo kutokana na kuthamini mchango wa Mkurugenzi wa NHIF, Emmanuel Humba.
Wafanyakazi wa NHIF wakiwa na furaha.
Mkurugenzi Mtendaji mstaafu wa mfuko huo, Emmanuel Humba na mke wake wakifurahia jambo.

No comments: