Tangazo

January 2, 2015

HAFLA FUPI YA BIRTHDAY YA MWANDISHI WA MICHEZO WA BINGWA,SHARIFA MMASI, ILIVYOFANA (JANUARY 1 2015)


Kutoka kushoto Deo Macha (ITV), Winnie Queen (Daily News), Sharifa Mmasi (Bingwa) na Fadhili Athumani (Mtanzania) katika hafla fupi ya kumpongeza Sharifa katika siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika Januari 01, mwaka 2015 mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro
Mwandishi wa gazeti la Bingwa, Sharifa Mmasi (Kushoto)  akimlisha Keki, Rodrick Mushi anayeandikia gazeti la Mtanzania (magazeti yote yanachapishwa na kampuni ya New Habari (2006) Ltd)

No comments: