Meneja
Biashara wa Airtel Kanda ya Dar es Salaam, Fredrick Mwakitwange (kushoto),
akikabidhi funguo za gari jipya aina ya Toyota IST lililosajiliwa kwa namba T
464 DDD, kwa mmoja wa washindi wa droo ya tatu ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha
Zaidi’, ambaye ni Wakala wa Mtandao huo, John Fred Kiwale katika hafla
iliyofanyika, Mtaa wa Togo, eneo la Kinondoni jijini Dar es Salaam jana. Wa
(pili kushoto) ni Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando na (kulia) ni Mke
wa mshindi huyo, Anna Kiwale na mtoto
wake, Sylvia John.
|
No comments:
Post a Comment