Tangazo

June 1, 2015

TAARIFA YA MAKUSANYO UJENZI YA MSIKITI

Kwa Jina la M/Mungu nina anza Andika , Nawashukuru Ndugu zangu WA TANZANIA ,KENYA na wasio kuwa hao kwa Upamoja wao wa Michango yao ya hali na Mali katika Kuimarisha UJENZI WA MSIKITI UNAONA KATIKA PICHA .

Nakushukuru BLOGS ZOTE ZA TANZANIA shukran za Pekee kwa Brother Mroki Mroki wa Father Kidevu Blog kwa kuwa Balozi Mzuri wa kulitangaza Jambo hili kwa Jamii pamoja na Blogs nyingi Marafiki wa Father Kidevu Blog. Leo Tarehe 30/5/2015 NAOMBA NIULETE MREJESHO HUU KWENU WA MAKUSANYO TOKA TAREHE 19/5 mpaka Tarehe 29/5/2015.


Na niwaombe Wadau kurudi tena kuleta mrejesho kama huu M/Mungu akipenda Tarehe 15/6/2015 .

UFUATAO NI MREJESHO WA MICHANGO YA UJENZI WA MSIKITI ULIOPO MKOA WA PWANI , WILAYA YA  MKURANGA , KIJIJI CHA MLAMLENI , KITONGOJI CHA KIMBANGULILE .

Naomba Nianze Ijumaa , Tarehe 29/5/2015 . TUMEPATA KIASI CHA TSHS 238,700/=
  1. CASH :- Tshs 96,700/= Nimezipokea Western Union.
  2. Tigo -Pesa Tshs 142,000/= Jumla ya Pesa zote unapata Tshs 238,700.
  3. TULIZOKUSANYA TSHS 1,373,500/= tukijumlisha na Siku ya Ijumaa Tarehe 29/5 tunapata TSHS 1,612,200/=
  4. Katika hiZo Pesa Taslimu ni Tshs 1,470,200/= na Tigo -Pesa 142,200/=
JUMLA YA MAKUSANYO YOTE Tshs 1,612,200/=

Balozi wetu wa KENYA Ali Bajiy Nasor update zake zitawajia atakapo kusanya Ahadi alizopewa Mpaka sasa amekusanya KSHS 4300/= ambae anakusanya kupitia M-PESA NAMBA +254725113783. ( Usajili ALI HAMIS ) .

Balozi wetu kwa waliopo Uingereza Tafadhali wawasiliane kwa Namba hii muwasilishe Michango yenu +447460340624.

Tanzania CHANGIA KUPITIA TIGO PESA 0715800772 (Brother ALI )

Mawasiliano zaidi Tuwasiliane Whatsapp : +255689604780 au Tembelea Facebook ID yetu :- Kijana Wa Kiislam Dsm
NAWASHUKURU WOTE MLIO CHANGIA NA MTAKAO ENDELEA KUCHANGIA KWA HALI NA MALI , kwa Pamoja TUIJENGE NYUMBA YA IBADA MALIPO YAKE AKHERA NI MAKUBWA ZAIDI NA DUNIANI PIA UNAPATA .


Daima Jamii ya watu huwa Nzuri zaidi na ikishikamana na IBADA na KUMTAMBUA MUUMBA kama Ni hivyo basi kwa PAMOJA TUUJENGE MSIKITI HUU tupate kuwa na Jamii Njema.

Wabillahi Taufiqh.

Wako katika Usimamizi wa hili .
GHALIB NASSOR MONERO.

No comments: