Tangazo

May 17, 2018

NAIBU WAZIRI WA AFYA AZINDUA PROGRAMU YA 'UNI LIFE CAMPUS' MUHAS

Mgeni Rasmi, Mheshimiwa Dkt. Faustine Ndugulile, Naibu Waziri Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto akitoa hotuba wakati wa uzinduzi wa Uni Life Campus Program kwenye Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili, MUHAS.
Wafanyakazi na wanafunzi wa MUHAS wakifuatilia hotuba za uzinduzi wa Uni Life Campus Program kwenye Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili, MUHAS
Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Appolinary Kamuhabwa akizungumza katika sherehe za uzinduzi wa Uni Life Campus Program kwenye Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili, MUHAS.
Mbunge anaewakilisha Vyuo Vikuu katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwanzilishi wa Uni Life Campus Program, Mheshimiwa Esther Mmasi akielezea maono ya program hii wakati wa uzinduzi wa Uni Life Campus Program kwenye Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili, MUHAS
Dkt. Faustine Ndugulile, Naibu Waziri Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto akitoa ufafanuzi wa maswali yaliyoulizwa na wanafunzi wakati uzinduzi wa Uni Life Campus Program kwenye Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili, MUHAS.
Mgeni Rasmi, Mheshimiwa Dkt. Faustine Ndugulile, Naibu Waziri Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (ameketi katikati), Mbunge anaewakilisha Vyuo Vikuu katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwanzilishi wa Uni Life Campus Program, Mheshimiwa Esther Mmasi (wa pili kushoto), Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Appolinary Kamuhabwa (wa pili kulia), msemaji wa jeshi la polisi (kulia) na mwakilishi wa kutoka bodi ya mikopo (kushoto), wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa serikali ya wanafunzi wa MUHAS
Naibu Waziri Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuzindua Uni Life Campus Program kwenye Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili, MUHAS

No comments: