Tangazo

October 17, 2011

'Machinga"

Kijana akizisaka noti katikati ya Jiji la Dar es Salaam jana. Kutokana na ukali wa maisha vijana wengi ambao rika lao walipaswa kuwa  mashuleni wamejikuta wakijiingiza katika biashara ndogo ndogo ili kuweza kukabiliana na hali hiyo.PICHA/Daily Mitikasi Blog

No comments: