Tangazo

November 16, 2011

MASHINDANO YA NGUMI YA KAMANDA KOVA YANAENDELEA

Bondia Mussa Mohamedi (kulia) akioneshana ufundi wa kutupa makonde na John Christian wakati wa mashindano ya Kova Cup Dar es salaam jana. Mussa alishinda kwa point.

Bondia Sunday Elius akipambana na Abdallah Kasimu wakati wa mashindano ya Kova Cup Dar es salaam jana. Kasimu alishinda kwa point. (Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

No comments: