![]() |
| Mdau akicheers na meza kuu..! |
![]() |
| Cheers |
![]() |
| Mkurugenzi wa Masoko kampuni ya bia ya Serengeti, Bw. Ephraim Mafuru akizungumzia mafanikio mbalimbali yaliyopatikana katika taifa kupitia kinywaji murua kabisa cha Serengeti premium Lager. |
![]() |
| Muonekano mpya wa dhahabu unaowasisimua wengi kama hivi pichani. |
![]() |
| Moja ya kikundi cha ngoma za asili kikitumbuiza . |
![]() |
| Meneja Masoko wa (SBL) Emilian Rwejuna (katikati) akiwa na wadau. |
![]() |
Meneja wa Kinywaji cha Serengeti Premium Lager, Allan Chonjo akiwakaribisha wageni waalikwa mbalimbali waliofika kwenye hafla hiyo ndani ya Hotel ya Golden Tulip. |













No comments:
Post a Comment