Tangazo

August 23, 2012

WAZIRI MKUU PINDA AAGANA NA BALOZI WA JAMHURI YA KOREA NCHINI

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya picha, balozi wa Jamhuri ya Korea nchini aliyemaliza muda wake, Bw. Young- Hoon Kim ambaye alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu Agust 23 2012 kuaga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na Balozi wa Jamhuri ya Korea nchini, Bw. Young-Hoon Kim ambaye alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Agust 23, 2012 kuaga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: