Waziri wa ` Ujenzi John Magufuli akisoma hotuba ya bajeti ya Wazara yake, Bungeni Mjini Dodoma, May 13, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) |
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Viwanda na Biashara, Abdallah Kigoda, Bungeni Mjini Dodoma May 13, 2013.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) |
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Bukene, Selemani Zedi kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma May 13,2013.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) |
No comments:
Post a Comment