Tangazo

August 8, 2013

MKURUGENZI WA MAELEZO-MWAMBENE NA MKURUGENZI WA UTAMADUNI-MWASOKO WATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA HABARI NANE NANE NZUGUNI DODOMA

Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO, Assah Mwambene (kulia) akizungumza jambo wakati yeye na Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni kutoka wizara ya  Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Herman Mwasoko walipotembelea banda la Magazeti ya Serikali  Tanzania Standard Newspapers (TSN) Wachapishaji wa magazeti ya Daily News, HABARILEO, Sunday News, HABARILEO  Jumapili  na Spotileo, jana Nzuguni Dodoma. Kushoto ni Afisa Masoko na Mauzo wa TSN, Chikira Mgheni na Afisa Masoko, Francis Kihinga.


Viongozi hao kutoka Wizarani walitembelea Taisisi zote zilizo chini Ya Wizara hiyo ikiwa ni Idara ya MAELEZO, TSN, TBC, BASATA, BODI YA FILAMU, TASUBA, IDARA YA MICHEZO NA ILE YA VIJANA.


 Kihinga akizungumza jambo na Wakurugenzi hao.
 Chikira akimkabidhi zawadi Mwasoko.
 Mwambene akipokea zawadi kutoka kwa Chikira wa TSN
 Wakurugenzi hao walifika banda la MAELEZO na kumkuta Lidya Chuzri na kuwapa maelezo ya banda.
 Wakiwa Bodi ya Filamu na Kulia ni Afisa Ukaguzi wa Filamu, Tabu Magembe
 Wananchi wakiwa banda la TASUBA

 Wakurugenzi wakiwa Banda la TASUBA
 Wakiwa Idara ya Michezo
 Wakurugenzi wakiwa Banda la Idara ya Vijana

No comments: