Tangazo

February 9, 2015

BALOZI WA IRELAND AKUTANA NA KINANA

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimkaribisha Balozi wa Ireland nchini Fionnuala Gilsenan ofisini kwake leo februari 9,2015 jijini Dar es Salaam.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na  Balozi wa Ireland nchini Fionnuala Gilsenan ofisini kwake jijini Dar es Salaam (Picha na Adam Mzee)

No comments: