| Jeneza lenye mwili wa Danny likiteremshwa kaburini kwa maziko. |
| Mke wa Marehemu Danny Mwakiteleko akiweka shada la maua katika kaburi la Marehemu mume wake. |
| Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Jackson Msome akiweka shada la maua katika kaburi la Marehemu Danny Mwakiteleko mara baada ya mazishi. |
No comments:
Post a Comment