| Waandishi wa habari wakijisevia katika tafrija hiyo. |
| Mhariri Mtendaji wa Mwananchi Communications Ltd, Theophil Makunga (kushoto), akibadilishana mawazo na Rais wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Jaji Mstaafu Robert Kisanga wakati wa tafrija hiyo. |
| Mkuu wa Mahusiano wa Benki ya Standard Chartered, Juanita Mramba (kulia) akiwatambulisha baadhi ya Maofisa Waandamizi wa benki hiyo. |
| Waandishi wa habari wakipata kilaji huku wakifuatilia kwa makini kinacchoendelea uukumbi humo. |
| Presentation |
| Msanii nyota wa ngoma za kiafrika, Captain Wanne Star (wa pili kulia), akitumbuiza na kundi lake katika tafrija hiyo. |
| Msanii wa kundi la Wanne Star akionyesha vibweka vyake. |
No comments:
Post a Comment