| Baadhi ya Wanafunzi hao wakiwa na Mh. Hilda Ngowi. |
| Wanafunzi wakiandika mapendekezo yao kwenye Bango kubwa maalum la EVERYONE. |
| Wanafunzi wakiwa makundi kuandika mapendekezo wanayodhani yakifanyiwa kazi na Serikali yatasaidia kuhamaisha mpango wa kupambana na Utapiamlo kwa watoto. |
| Mh. Lediana N'gong'o na Bi. Hoyce Temu wakiainisha baadhi ya mambo muhimu yanayotakiwa kutekelezwa ili kufanikisha kampeni ya kupambana na utapiamlo hapa nchini. |
Meneja Kampeni wa EVERYONE wa Tanzania Jasminka Milovanov (kushoto) akibadilishana mawazo na Bi. Hoyce Temu. |
| Mjadala wa Mapendekezo ukiendelea. |
| Makundi ya Wanafunzi hao katika picha ya pamoja na Waheshimiwa Wabunge na waandaaji wa uzinduzi huo. |
| Hoyce Temu katika picha ya pamoja na Waheshimiwa Wabunge. |
No comments:
Post a Comment