Tangazo

March 30, 2012

MZEE MKAPA ATUA ARUMERU LEO

Rais na Mwenyekiti mstaafu wa CCM, Benjamin Mkapa akiwa kwenye chumba cha kufikia kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) baada ya kupokewa kwenye uwanja huo na Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama (kushoto), leo asubuhi. Wapili kulia ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye. (Picha na Bashir Nkoromo)

No comments: