Tangazo

March 30, 2012

Waziri wa Mazingira Terezya 'ateta' na Balozi Mpya wa Umoja wa Ulaya

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Dkt. Terezya Huvisa akimkaribisha Balozi Mpya wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania Bw Filiberto Ceriani mara baada ya kujitambulisha  Ofisini kwa Waziri Mtaa wa Luthuli Mjini Dar es Salaam Machi 30.12. 

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Dkt. Terezya Huvisa akiwa katika mazungumzo na  Balozi Mpya wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania  Bw Filiberto Ceriani Sebregondi alipokwenda kujitambulasha kwa waziri, Mtaa wa  Luthuli Mjini Dar es Salaam.[Picha na Ali Meja]

No comments: