Tangazo

April 30, 2012

Bondia Francis Cheka amgaragaza Mada Maugo

Mada Maugo (kushoto) na Francis Cheka wakioneshana umwamba wa kutupiana masumbwi.

Cheka (kushoto) akipiga ngumi bila mafanikio uku mada akiludi nyuma kujiami.

Meya wa Manspaa ya Ilala, Jery Slaa akimvalisha mkanda bondia Francis Cheka baada ya kuibuka na ubingwa wa K.O raundi ya sita jana.

Meya wa Manspaa ya Ilala, Jery Slaa akimkabidhi funguo ya gari bondia Francis Cheka baada ya kuibuka na ubingwa wa K.O raundi ya sita jana. picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments: