Tangazo

April 30, 2012

Breaking News: Mbunge wa Sumbawanga Mjini (CCM), Aeshi Hillary avuliwa Ubunge na Mahakama

Habari zilizotufikia punde katika chumba chetu cha habari ni kuwa aliyekuwa Mbunge wa Sumbawanga Mjini (CCM) Aeshi Hillary  (pichani) amevuliwa ubunge na mahakama, kufuati hukumu ya kupinga matokeo ya Ubunge wa Sumbawanga Mjini dhidi ya Mwalimu Norbet Joseph Yamsebo wa Chadema ambaye alidai kuchakachuliwa katika uchaguzi huo.

    Miongoni mwa madai mengine ni pamoja na kutoa rushwa kwa makundi mbalimbali na watu wengi walijitokeza kutoa ushahidi huo na kukiri kuwa ni kweli walipokea vitu mbalimbali ikiwemo fedha, baskeli, pikipiki, vinywaji, kinanda kwa kanisa katoliki n.k.

Daily Mitikasi Blog inaendelea kufuatilia taarifa zaidi mtajulishwa punde.

No comments: