Tangazo

April 30, 2012

Miss Ukonga na Miss Tabata wafanya mazoezi ya pamoja

 Miss Ukonga 2012 walio chuchumaa wakiwa katika picha ya Pamoja na wartembo wa Miss Tabata 2012 wakati walipofanya mazoezi ya pamoja jana.


 Baadhi ya waremnbo wa Tabata wakipita kwa mwendo wa madaha.

Ngoma ya asili nayo imo na hapa ni kucheza kwenda mbele.

Mwandaaji wa Miss Tabata, Freddy Ogot (katikati) akiwaeleza jambo waandaaji wa Miss Ukonga 2012.   

No comments: